Love Stories
Wednesday, 24 February 2016
Tuesday, 16 February 2016
Ladha ya Penzi (The Taste Of Love) Sehemu ya Tatu.
“Inna my girl! Najua mimi ni
msichana na usichana wangu haunizuii kupenda wala kupewa raha wapatazo wanaume”
aliongea Solidad kwa kijiamini sana. “Sikia Solidad msichana yeyote aliyakamili
kamwe hawezi fanya haya mabo unayotaka kufanya” Inna aliongea akigeukia upande
wa pili nakukumbatia mto. “No! usiseme hivyo nahisi mimi ni msichana ambaye
sijakamilika kuitwa msichana kwa sababu mbili …….. Moja sina hisia na mwanaume
yeyote duniani, pili nina hisia za kimapenzi na wasichana wazuri kama wewe na
hata kakazangu wanalitambua hilo na moja kwa moja wanaelewa wewe ni mpenzi
wangu but Sorry Inna” aliongea solidad kwa Uchungu uliopitiliza na kumfanya
Inna arudishe sura yake upande wake.
Monday, 15 February 2016
Ladha ya Penzi (The Taste Of Love) Sehemu ya Pili.
Ladha ya Penzi (The Taste Of Love) Sehemu ya kwanza
Ni usiku uliotulia kwake binti Mrembo Inna, akiwa kitandani akitafakari uzito wa siku inayoelekea ukingoni. Mara ghafla anapatiwa na usingizi.
Inna alishitushwa na sauti ya mama yake iliyosikika ikitokea katika mlango wa chumba chake “wewe mtoto huendi shule, unalala mpaka saa hizi”. Ni sauti na maneno aliyoyasikia Inna na yaliyomfanya akakurupuke toka kitandani, “Naamka mama” Inna alijibu akiwa tayari kishachukua Taulo yake na kwenda kuoga, alijiandaa, akanywa chai tayari kwa safari ya kuelekea shuleni.
Subscribe to:
Comments (Atom)

